Saturday, March 21, 2015

KILELE cha wiki ya maji ni machi,22

MAADHIMISHO ya wiki ya maji yaliyoanza mwanzoni mwa wiki hii kilele chake kinatarajiwa kuwa kesho ambapo mambo mbalimbali yafanyika nchini kote.
Baadhi ya wananchi wa mkoa wa Morogoro walioongea na kipindi cha Dira ya Mazingira wamesema, bado  serikali na wizara ya maji kwa ujumla inachangamoto kubwa ya kutunza na kuhifadhi vyanzo vya maji  vilivyopo mkoani Morogoro ili kuwezesha utekelezaji wa sra ya maji ya Taifa
    Sera ya maji ya taifa inasema kuwa, ifikapo mwaka 2022 wananchi watapata maji safi na salama.
 

No comments:

Post a Comment