Friday, March 20, 2015

WANANCHI Kilosa watakiwa kutunza mto mkondoa


Wananchi wa Magomeni, Kilosa mjini , waanaoishi jirani na mto Mkondoa wakihamsha vitu 
WAKAZI wa wilaya ya Kilosa wametakiwa kutumia vyema vyanzo vya maji ya mto mkondoa kwa kilimo cha umwagiliaji ili kujikwamua kiuchumi .


Aidha wananchi hao wa Kilosa mjini na vitingoji vyake wamekumbushwa pia kutunza miundo mbinu kwa lengo lamkuepusha mafuriko yenye kusababisha hasara.

Ushauri huo umetolewa mapema wiki hii na wadau wa mazingira katika mahojiano maalum na kipindi ch Dira ya Mazingira katika kusheherekea wiki ya maji ambayo kilele chake ni  machi ,22



2 comments:

  1. Serikali haijatoa ushirikiano wa kutosha kuhusu kuwaelimisha wananchi namna ya kuhifadhi vyanzo vya maji.John wa Kidete

    ReplyDelete
  2. Mto Mkondoa unasumbua sana.Ahadiza serikali vipi kuondoa tatizo la mafuriko ya mar akwa mara?MWANANCHI MWEMA

    ReplyDelete