Sunday, March 29, 2015

KILOSA wahimizwa kutunza mazingira


Wananchi wakifanya usafi wa mazingira

WAKAZI  wa mji wa Kilosa na vitongoji  vyake, wilaya  Kilosa , mkoani Morogoro wametakiwa kutunza mazingira katika kipindi cha mvua ili kuepuka magonjwa ya kuambukiza.


Wito huo umetolewa hivi karibuni mjini Kilosa na wanaharakati wa Mazingira wilayani humo Bwana Mashaka  Maringo wakati akiwahamasisha kutunza mazingira .
Amesema, mvua huwa zinamabatana na baadhi ya magonjwa hivi suala la kutunza mazingira ni muhimu ili kuepuka magonjwa hususani katika kipindi hiki cha mvua za masika.



No comments:

Post a Comment