Tuesday, March 17, 2015

VIJIJI 47 wilayani Kilosa vyatekeleza mpango wa matumizi bora ya ardhi



Wataalamu wa kilimo wakiwa katika jengo la H/W ya Kilosa

VIJIJI 47 katika Halmashauri yawilaya ya Kilosa, mkoani Morogoro vinatekeleza mpango wa matumizi bora ya Ardhi.

Hayo yamebainishwa hivi karibuni na mkuuwa Idara ya Ardhi na Maliasili Halmashauri ya wilaya ya Kilosa Bwana Ibrahimu Ndembo katika kipindi cha Dira yaMazingira.

Amesema, mpango huo unaofadhiliwa na TFCG  utapunguza migogoro ya Ardhi wilayani Kilosan na hivyo kuongeza tija katika matumizi bora ya ardhi




No comments:

Post a Comment