Sunday, April 5, 2015

WAKALA wa huduma za Misitu Kilosa wapongezwa



WAKAZI wa mji mdogo wa Mikumi na vitongoji vyake wameipongeza ofisi ya wakala wa huduma wa misitu(TFS)wilaya ya Kilosa kwa kuweka vibao vinavyoonesha umuhimu wa misitu  na kuwahimiza wananchi kutunza mazingira.


Wakiongea na Dira ya Mazingira katika mji mdogo wa Mikumi, mapema jana, baadhi ya wananchi wamesema hiyo ni ishara kuwa TFS wanafahamu vyema majukumu yaona kitendo hicho kitawafanya wananchi kukishiri kikamilifu katika Utunzaji na uhifadhi wa misitu ya asili sanjari na ile ya kupandwa..

1 comment:

  1. Ni muhimu ili kujenga uelewa Wa jamii katika kutunza rasilimali misitu na Mazingira

    ReplyDelete