Wagonjwa wa kata ya Tomondo wakisubiri huduma ya Afya. |
Uchunguzi
uliofanywa na Mbiuya Maendeleo Media
umebaini kuwa zahanati hiyo ina muuguzi mmoja ambaye ni Bi Eshe Hemed ,
ambaye anahudumia zaidi ya wagonjwa hamsini kwa siku.
Mbali na
changamoto hiyo, Zahanati hiyo inakabiliwa na uhaba wa nyumba za watumishi,
ukosefu wa maji safi na salama na vifaa tiba.
No comments:
Post a Comment