BINGWA wa rekodi
ya dunia katika mbio za mita 800 Dunia mkenya David Rudisha ameshindwa tena kwa
mara nyengine katika mbio hizo na Bingwa katika mbio hizo Nijel Amos wa
Botswana.
Rudisha tayari alikuwa ameongoza
mbio hizo akiwa mbele na ilikuwa imesalia mita 300 kufika katika utepe,wakati
Nijel Amos alipotoka nyuma na kumshinda.Rudisha
David
lekuta Rudisha

No comments:
Post a Comment