Maeneo hayo maalum yatakuwa na mashini
ya kukamua maziwa ya mama, jokovu la kuhifadhi maziwa na chakula cha watoto
pamoja na kuhakikisha mandhari sawa ya watoto wachanga.
Chini ya mswada
huu waajiri lazima watoe muda kwa wanawake kuwanyonyesha watoto hao, kwa
kupokezana.
Rachel Nyamai,
mbunge aliyewasilisha mswada huo amesema utasaidia wanawake kufanya kazi vyema
na wakati huohuo kuimarisha afya ya mtoto.

No comments:
Post a Comment