![]() |
| Timu ya Taifa ya vijana ya Tanzania |
Mchezo wa pili utachezwa Jumanne Aprili 5 katika uwanja wa Azam
Complex Chamazi.
Msafara wa The Pharaohs unatarajiwa kuwasili Alhamis tarehe 31,
Machi ukiwa na watu 33, wakiwemo wachezaji 25 pamoja na viongozi 8, na
wataondoka nchini tarehe 6 Aprili kurudi kwao nchini Misri.
Kikosi cha Serengeti Boys kinachonolewa na makocha Bakari Shime
na Sebastian Mkomwa wakishauriwa na Jan Poulsen, kimeendelea na mazoezi katika
uwanja wa Karume, zilipo ofisi za Makao za Makuu ya TFF.

No comments:
Post a Comment