![]() |
| Chuo kikuu cha Dodoma |
WANAFUNZI
katika chuo kikuu cha Dodoma nchini Tanzania wamefukuzwa chuoni humo baada ya
kuzuka kwa mgogoro kati ya serikali na wahadhiri wa chuo hicho.
Wanafunzi hao waliagizwa kuondoka
katika chuo hicho kufikia saa kumi na mbili jioni siku ya Jumapili.
Image caption Ilani
Ilani hiyo imesema kuwa kulikuwa na
makosa katika mafunzo ya wanafunzi wanaosomea shahada ya elimu ikiwemo
sayansi,hesabati,teknolojia hivyobasi serikali imewataka wanfaunzi kuondoka
chuoni humo hadi ilani yengine itakapotolewa.
Maelezo kuhusu mgogoro huo kati ya
ya wahadhiri wa chuo hicho na s

No comments:
Post a Comment